Mwijaku Atoa Mpya Akiomba Kura "Kilichotokea Jana Nimeona Siwezi Kushinda"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mtangazaji na mwigizaji Mwijaku amesema matokeo ya kura za maoni ya wagombea ubunge CCM yaliyotoka siku ya jana yamemkatisha tamaa na kwamba ameona hawezi kushinda.

"Kilichotokea jana nimeona siwezi kushinda, nimewaambia wajumbe wamchague yule wanayemuona anafaa, nimeona jana kilichotokea mgombea ameshangiliwa lakini amekosa kura"

"Watu wa Kawe sijawaelewa hawajawauliza kabisa maswali wagombea, sijapendezwa kabisa" Mwijaku
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad