AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtangazaji na mwigizaji Mwijaku amesema matokeo ya kura za maoni ya wagombea ubunge CCM yaliyotoka siku ya jana yamemkatisha tamaa na kwamba ameona hawezi kushinda.
"Kilichotokea jana nimeona siwezi kushinda, nimewaambia wajumbe wamchague yule wanayemuona anafaa, nimeona jana kilichotokea mgombea ameshangiliwa lakini amekosa kura"
"Watu wa Kawe sijawaelewa hawajawauliza kabisa maswali wagombea, sijapendezwa kabisa" Mwijaku
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK