AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mzee Mkapa aliwapenda Watanzania hususani wanyonge ndio maana alifuta kodi ya kichwa, kodi ya mifugo na kodi ya baiskeli ambazo ziliwatesa sana Watu, alianzisha MKURABITA na TASAF kusaidia kaya masikini” -JPM
“Rais Mkapa amefariki ikiwa ni miezi michache tangu alipotoa kitabu chake cha ‘My Life, My Purpose’ ambapo ameelezea mambo mengi ikiwemo maisha yake na Uongozi tangu akiwa Lupaso” -JPM
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK