google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Ndoa ya Esma kufanyika wikiendi hii | UDAKU SPECIAL

Ndoa ya Esma kufanyika wikiendi hii

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Dada wa Msanii Diamond Platnumz, Esma Platnumz anatarajia kufanya sherehe ya ndoa yake (harusi) wikiendi hii. 


Kwa mujibu taarifa kutoka kwenye familia imeeleza kuwa Julai 30 mwaka huu (leo) kutakuwa na Maulid ambayo itafanyika Madale, Jijini hapa ikihusisha zaidi familia na watu wa karibu. 


Na kisha Agosti Mosi mwaka huu itafanyika rasmi reception ambayo itafanywa maeneo ya Lugalo Golf Club ambayo wageni waalikwa watapata nafasi ya kuhudhuria katika sherehe hii.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad