"Nilikuwa Naogopa Baba au Mama Ataona Tulivyokuwa Tunafanya na Calisah" - Karen

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii Malkia Karen amefunguka kusema alikuwa anagopa yale yote aliyokuwa anafanya kwenye video ya wimbo wake mpya wakati wapo "location" wana-shoot video huku akihofia baba yake ataona.

Akizungumza kwenye show ya Friday Night Live Malkia Karen amesema, "Calisah ana unyama sana tena wa moto kabisa, kuna video za nyuma ya pazia zinakuja ndiyo unyama kabisa ila wakati tunashoot nilikuwa naogopaogopa sana nikawa nasema mbona tumesogeleana sana halafu kama baba yangu au mama ataona" amesema Malkia Karen
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad