AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nimeoa Miaka mitatu iliyopita mke mzuri na mwenye maadili ya dini kabisa ili kilichonitokea leo nashindwa kuamini aisee
Sasa Leo nimeitwa na baba mwenye nyumba amenipa notes ya kuhama sababu ya mke wangu kuvuta Bangi kila siku mchana mimi nikiwa kazini, Nyumba tunayoishi kuna wapangaji wengine wawili na baba Mwenye nyumba...Sasa wanadai imekuwa usumbufu karibia miezi sita sasa mchana wanapata harufu ya Bangi kutoka nyumba yetu....
Mke wangu nikimuuliza anasema mbona wewe unakunywa?.. Kwani tatizo nini?...
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK