Profesa Jay: Tupo Tayari Kukupokea Lissu Nitatinga Mapema Uwanja wa ndege

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Mikumi (Chadema), Joseph Haule, maarufu kwa jina la Profesa Jay amemkaribisha nyumbani Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

Profesa Jay amesema wapi tayari kumpokea kesho uwanja wa ndege na kwamba atafika kabla ya majira ya saa 7:20 mchana.

Kiongozi huyo aliandika ujumbe huu katika ukurasa wake wa Twitter kuwa “Karibu sana nyumbani shujaa Tundu Lissu, tupo tayari kukupoke kesho pale Airport, Binafsi nitakuwepo mapema sana kabla ya saa 7:20 mchana utakapotua Airport. Kesho tukutane airport,”.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad