Rado: Wasanii wa Bongo Fleva zamani walikuwa wanaomba kuonekana kwenye movie zetu, sasa hivi sisi tunajipendekeza kwao

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii wa Bongo movie @radomanking amezungumza kwa uchungu sana kuhusaina na tasnia ya Bongo movie kuporomoka. @radomanking ameeleza kuwa kuna wasanii wanafanya movie kwa sh mil 2 hiyo ni kuidhalilisha tasnia.

“Sisi tulikuwa wakubwa kuliko mpira hata muziki, wasanii wa muziki walikuwa wanaomba jinsi gani wataonekana kwenye movie lakini sasa hivi wanaringa wan on a tuna jipendekeza kwao"

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad