AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Uhuru Kenyatta amesema Wakenya hawatakiwi kujilinganisha na Mataifa yasiyo na uhuru wa habari na ambayo yamekuwa hayatangazi taarifa za #CoronaVirus
Kauli yake inakuja kufuatia baadhi ya Wakenya mitandaoni kusema nchi hiyo inapaswa kulegeza masharti ya kudhibiti maambukizi kama Tanzania
Amesema #Kenya ni nchi ya kidemokrasia na vyombo vya habari vipo huru hivyo haiwezi kuficha taarifa. Nchi hiyo imerekodi visa 17,975 na vifo 285 huku wagonjwa 7,833 wakipona hadi sasa
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK