google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Rais Magufuli apewa jogoo na Wanasomanga "Mpelekee mama kuku huyu mwambie asante kwa malezi aliyokupa" | UDAKU SPECIAL

Rais Magufuli apewa jogoo na Wanasomanga "Mpelekee mama kuku huyu mwambie asante kwa malezi aliyokupa"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mwananchi wa Somanga amemzawadia Rais Dkt. John Magufuli jogoo na kumuomba Rais ampelekee mama yake mzazi. 


"Mpelekee mama kuku huyu kutoka kwa wananchi wa Somanga, mwambie asante kwa malezi aliyokupa, uko vizuri Mhe. Rais, piga kazi." 


Baada ya hapo Rais JPM aliomba akabidhiwe Jogoo alopewa na Mzee Huyo " "Mzee nipe kabisa jogoo wangu uliyenizawadia niondoke naye, nitampelekea mama yangu kama ulivyosema, unajua Baba yangu alishatangulia mbele za haki, umetoa jogoo, siku ukienda Chato nitakukabidhi mama yangu na wewe uwe baba, asanteni sana watu wa Somanga." - Rais Magufuli.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad