Real Madrid yatwaa ubingwa wa 34 wa LaLiga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Club ya Real Madrid baada ya kutwaa taji la Ligi Kuu Hispania LaLiga 2019/20 kwa ushindi wa 2-1 dhidi ya Villarreal, hili ndio linakuwa taji lao la kwanza la LaLiga toka 2017.

Real Madrid hilo ndio linakuwa taji lao la kwanza toka Cristiano Ronaldo aondoke timu hiyo 2018 na kujiunga na Juventus.

Hili ni taji la 34 la LaLiga kwa Real Madrid wakiwazidi wapinzani wao wakuu FC Barcelona kwa tofauti ya mataji 8, Barcelona wakiwa na mataji 26 ya LaLiga.

Kocha wa Real Madrid Zinedine Zidane anakuwa kashinda jumla ya mataji 11 katika jumla ya michezo 209 aliyoiongoza Real Madrid (LaLiga 2, UEFA Champions League 3, UEFA Super Cup 2, Supercopa de Espana 2 na FIFA Club World Cup 2)
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad