Roma Aamua Kuwa Unfollow Watu Wote na Kuifollow CCM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Staa wa HipHop Tanzania , ROMA ameamua ku-unfollow watu wote kwenye Ukurasa wake wa Instagram , na kukifollow Chama Cha Mapinduzi (CCM) pekee.

Roma ni Kati ya Marapa wanaosifika kutokana na kuimba Nyimbo nyingi za harakati na Ukombozi , hivyo haijulikani ni sababu zipi zilizomfanya Mkali huyu kuchukua uamuzi huo.
KWA HABARI, LIVE TV, RADI
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad