AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nikajiuliza why this? Je wamekosa guest?
Nikapata jibu kuwa wanaofanya huu uchafu ndani ya gari mara nyingi ni wake za watu
Watoto wadogo wa shule Au jinsia moja
Kwa nini nasema hivi kwa sababu haiingii akilini mchana wote huu watu wawe wamejibana kwenye gari wanachoogopa ni nini??? Wamekosa gust bubu hata??
Nyie baadhi ya wanaume wenye mtindo huu muache hayo magari mnapanda na familia zenu, mnaenda nayo makanisani n.k mnayafanya najisi kwa kufanya ngono humo. Ni bora basi mkafanya na wake zenu kwa bahati mbaya.
Kwa upande wangu sijafurahishwa jamani kila mtu ana maono yake au mitizamo yake. Nilichowaza anaweza akawa hata ni mtoto wa jirani yangu au ndugu yangu labda hata anageuzwa humo na libaradhuli aka fataki
By Cajojo/JF
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK