AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
UBALOZI wa Tanzania nchini Kenya umekanusha taarifa kuwa ujumbe rasmi uliomwakilisha Rais Uhuru Kenyatta katika msiba wa Rais Mstaafu Benjamin Mkapa ulizuiwa kutua nchini.
Ujumbe huo ulioongozwa na Samuel Losuron Poghisio ulilazimika kurejea jijini Nairobi kwa sababu ya hitilafu ya ndege ambapo serikali ya Tanzania ilipewa taarifa.
Ubalozi umesema taarifa hizo za upotoshaji, uongo na zina lengo la kuzorotesha uhusiano uliopo kati ya Tanzania na Kenya iliyotangaza siku tatu za maombolezo kufuatia kifo cha Mkapa.
Katika salamu zake za rambirambi, Rais Uhuru Kenyatta alimwelezea Mkapa kama shupavu aliyetetea maslahi ya Tanzania na Afrika kwa jumla
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK