Sheikh Mkuu Dar Aibuka TENA Awaasa Wagombea Kufanya Kampeni za utu na Heshima

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Wanasiasa wameaswa kufanya kampeni za utu na heshima ili kuendelea kulinda amani iliyopo nchini.

Hayo yamezungumzwa na Sheikh Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Alhad Mussa Salim katika viwanja vya mnazi mmoja iliposwaliwa swala ya Eid.

Mbali na hilo Sheikh Alhad amesema dini ya uislam inafundisha amani, mshikamano na ushirikiano hivyo ni vema kupeana kushirikiana kwa ustawi wa amani na maendeleo nchini.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad