AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Simu yake iliita kwa Bahati mbaya wakati wa ibada akiwa kanisani 📞☎
Mchungaji alimfokea
Waumini walimzonga baada ya maombi ya ibada
Wakati anarudi nyumbani, njia nzima mkewe aliendelea kumsema kwa kutokuwa makini
Akajisikia vibaya sana, huzuni, na aibu juu
Jioni yake, ili kupoteza mawazo, alikwenda bar
Aliagiza bia, akaiweka mezani. Kwa kuwa alikuwa na mawazo mengi, akaigusa pombe ikamwagika 🍻🍺
Muhudumu alikuja, akampa pole kwa unyenyekevu, na akafuta meza kiustaarabu, kisha akamfuta jamaa ilipommwagikia kiunyenyekevu
Meneja wa bar ile alimpa jamaa bia ya ofa kufidia iliyomwagika 🥂🥃🍾
Muhudumu wa kaunta alipomletea alim'busu akim'bembeleza, "Usijali, hakuna ambaye hana makosa!"
Jamaa hajawahi kukosa 'ibada' ktk bar hiyo tangu siku ile
SOMO:
Unavyowatendea watu kunaweza kujenga au kuwabomoa, hasa wanapokosea.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK