Stori ya Kutisha ya Foleni Ya Magari Iliyoganda Porini Kwa Muda Wa Miaka 70...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kunakitu kuhusu sehemu ambazo zimetelekezwa miaka mingi iliyopita ambazo  wengine huita magofu, sehemu hizi mara nyingi hua zimetumika miaka ya nyuma na baadae kuachwa peke yake zikibakisha historia na kumbukumbu za watu waliopita, Kibaya ni kwamba sio kila sehemu inaachwa kwa mazuri, sehemu nyingine hushtua na kutisha kiasi kwamba hata kutembelea tu lazima roho yako isite.!


Kutana na  Belgian Car forest.! Msitu ambao umeficha magari yaliyokua kwenye foleni na kutelekezwa yakiwa yamejipanga kama yapo barabarani.!

 VIDEO:
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad