Tanasha Dona Awekwa Kiti Moto...Adaiwa Kuzubaa Badala ya Kutumia Mteremko Aliyopewa na Diamond Platnumz

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kutoka Katika Kurasa Maarufu wa Originalist Wameandika haya:

"My sister Tanasha!!! Hilo gazeti lote uliloandika ni la nini sasa Jamani!!!
Sijawai ona Mkenya so slow na boring kama Tanasha to be honest!!! !!! Watu wengi wanamsahau polepole!!!
.
Kwa hili hapa wabongo wamewashinda Wakenya kwa mbali!!! kama ni mbongo angeshachukua hii fursa yote na kutoa ma hit song back to back!!! Na ma deal kama yote!!!

Honestly watu wamechoka kungoja “something big coming”, blah blah🙄

Na mbona Kenya hawampi Tanasha na mtoto wake NJ deals, hata za pampers!!! Niliona wamefungua duka kubwa sana la @babyshop.kenya Alafu wakampa Eric Omondi deal!! 🤣
.
Kama Tanasha was aggressive (kama zari ) na kuwa serious na kazi yake,hili deal angelipata na mtoto wake!!! Ingekua so perfect!!
.
Sasa unaongelea mambo mengi kuhusu wimbo uliopita instead ya ku release new song kama ulivo promise fans wako!!! 🤣🤣
.
Toa wimbo mpya!!, tuonyeshe ile nyumba mpya ulionunua & promised us a house tour!! Suprise us na bonge moja la deal!! Jamani changamka Tanasha!! Khaaa!!"
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad