Tessy Chocolate "Wanaume wa Siku Hizi Wamekuwa Wavivu Sana wa Kutongoza Ukimkazi Kidogo Anasepa"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Aliyekuwa mpenzi wa Aslay na Mama Mtoto wake amefunguka kuhusu uvivu wa wanaume wa siku hizi katika suala la kutongoza , amesema haya

"Wanaume wa siku hizi wamekuwa wavivu sana wa kutongoza, ukimkazia kwa masaa mawili tu anakata tamaa huta msikia tena, ukweli hawajui kuwa wanawake tumeubwa kuringa kidogo sometimes ukimkubali mtu haraka haraka unaonekana malaya' Tessy Chocotate
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad