WATCH Live: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Watu mbalimbali wamejitokeza katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kumpokea Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA-Bara, Tundu Lissu ambaye anarejea leo

Lissu anarejea nchini kutokea Ubelgiji alipokwenda kwa ajili ya matibabu baada ya kushambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana Septemba 2017

VIDEO:

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad