Watu Watano Wamefariki Dunia na Wengine 14 Wamejeruliwa Wakitokea Kwenye Harusi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Watu watano wamefariki na wengine 14 wamejeruhiwa baada ya gari la abiria lililokuwa likitoka kwenye  ya harusi kugongwa na trekta.

Ajali hiyo imetokea Bahi mkoani Dodoma ambapo watu hao  walikuwa wakitokea kwenye sherehe ya harusi eneo la Makamba wilayani Manyoni mkoani Singida.

Taarifa kamili kuhusiana na tukio hilo tutawajulisha baadaye
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad