Wewe Mwanadada Ikiwa Unataka Kuolewa Haraka Fanya Yafuatayo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wadada wengi wa Mjini Wengi wamekuwa na dhana kuwa ukionyesha maungo ya mwili kwa kuvaa vinguo vifupi basi wataolewa haraka lakini kumbe wanajidanganya na kuishiwa kumegwa na kutupwa kule

Mie nawaambia Hivi Ukitaka kupata mchumba wa maana basi fanya yafuatayo:

Vaa nguo ndefu kuvuka magoti, zisiwe transparent, kifua kisiwe wazi, viatu flat, kucha na kichwa visiwe na manjonjo mengi, usiwe mwongeaji ovyo,epuka unywaji pombe, unnecessary outing, ukali usio wa lazima, nidhamu kwa wote, upole, bila kusahau usafi na ibada.
Ukiyafanya hayo yote hata kama umejificha uvunguni utaonekana tu! Bisha!
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

8 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. ivi kuolewa nako ni deal??nyooo

    ReplyDelete
    Replies
    1. watu kama nyiny ndo mnaoiba waume za wenzen ila nikwambie tu ukwel hawara utabaki tu kuwa hawara tu

      Delete
  2. Kuolewa n zaid ya deal ila utakuwa unaxema hvo either uliolewa ukaachika au ndoa yako ina migogoro mwanamke anakamilishwa na mwanaume so Admin amejaribu kutoa sifa anazotakiwa kuwa nazo mwanamke ili aolewe congrats Admin Girlz weng n pretenders wanaishi maisha ya kwenye tamthilia za kifilipino

    ReplyDelete
    Replies
    1. embu nitumie namba yako ya m-pesa

      Delete
  3. embu nitumie namba yako ya m-pesa

    ReplyDelete
  4. Kuolewa deal tena kuna utamu usioisha hamu

    ReplyDelete
  5. Kuolewa ni deal sana 2 yani



    ReplyDelete

Top Post Ad