AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge anayemaliza muda wake katika Jimbo la Sengerema mkoani Mwanza, William Ngeleja ameshindwa katika kura za maoni baada ya kupata kura 120 dhidi ya Tabasamu Hamisi aliyeongoza kwa kura 335.
Wagombea katika kura za maoni Sengerema walikuwa 60 huku wajumbe wakiwa 929.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK