Wivu Wafanya Mbwa wa Familia Kuua Watoto Mapacha Hawa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Tukio hilo limetokea katika mji wa Pipira huko Brazil. Mbwa huyo aliwashambulia vichanga hao chumbani walimokuwa wamelala wakati mama mtu akizungumza na jirani. Mtoto mmoja alifikishwa hospital akiwa tayari amefariki na mwingine alifariki muda mfupi baadae licha ya juhudi za madaktari kujaribu kuokoa maisha yake ambapo mama mtu alihangaika kwa miaka tisa kupata ujauzito

Inadaiwa mbwa huyo alipata kisirani cha wivu na kufanya mauaji hayo baada ya kugundua mmiliki wake alipunguza upendo na attention kwake na kuhamishia kwa mapacha hao baada ya kuzaliwa
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad