AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tukio hilo limetokea katika mji wa Pipira huko Brazil. Mbwa huyo aliwashambulia vichanga hao chumbani walimokuwa wamelala wakati mama mtu akizungumza na jirani. Mtoto mmoja alifikishwa hospital akiwa tayari amefariki na mwingine alifariki muda mfupi baadae licha ya juhudi za madaktari kujaribu kuokoa maisha yake ambapo mama mtu alihangaika kwa miaka tisa kupata ujauzito
Inadaiwa mbwa huyo alipata kisirani cha wivu na kufanya mauaji hayo baada ya kugundua mmiliki wake alipunguza upendo na attention kwake na kuhamishia kwa mapacha hao baada ya kuzaliwa
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK