Yanga "Tukikosa Nafasi ya Pili Itakuwa ni Aibu Sana"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



WAKATI leo Jumamosi ikiivaa Mwadui pale Uwanja wa Taifa, Dar, Kocha wa Yanga, raia wa Ubelgiji, Luc Eymael amefunguka kuwa kitu pekee kilichobaki katika mikono yao ni kuhakikisha kuwa wanaitwaa nafasi ya pili kwenye ligi kuu ili kuipa heshima timu hiyo.


Eymael amesema hawawezi kumaliza ligi wakiwa wamekosa kila kitu, hivyo kumaliza wakiwa katika nafasi ya pili ndiyo mafanikio pekee kwao kwa msimu huu na watafanya kila liwezekanalo kuhakikisha hawaikosi nafasi hiyo ili kuiepusha Yanga na aibu.


Kusoma Habari kamili, Pakua App ya Global kwenye Google Playstore, App Store. Utasoma Hbari, Magazeti yote kutoka GPL, Hadithi za Eric Shigongo n.k


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad