Zitto: Nimejulishwa na mawakili Sheikh Ponda haonekani katika vituo vya polisi, Tunataka aachiwe awe huru

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema amejulishwa na mawakili kuwa Sheikh Ponda Issa Ponda haonekani kwenye vituo vyote vya polisi jijini Dar es Salaam.

“Pamoja na juhudi zinazofanywa na mawakili kuhakikisha kuwa anafikishwa mahakamani,” aliandika Zitto katika ukurasa wake wa twitter.

Zitto amelitaka jeshi la polisi  kumuachia huru mara moja Sheik Ponda na kwamba wanatakiwa kutenda haki.

“Nimejulishwa na mawakili kuwa Sheikh Ponda haonekani vituo vyote vya polisi Dar es Salaam. Pamoja na juhudi zinazofanywa na mawakili kuhakikisha kuwa anafikishwa mahakamani, nawataka jeshi la polisi kumuachia huru mara moja Sheikh Ponda @ tanpol wanapaswa kutenda haki,” aliandika Zitto.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad