Adam Mchomvu Ataja Sababu za Kumpiga Emmanuel Mbasha Stejini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mtangazaji wa clouds fm Adam Mchomvu amesema sababu za kumpiga mtama stejini mwimbaji wa nyimbo za Injili Emmanuel Mbasha Ni kutokana na kumuita Adamu mabangi

Amesema kitendo hicho kimemuudhi kwa kuwa KAULI hiyo ameitoa kwenye tamasha ambalo linaangaliwa na watu wengi akiwemo Rais Magufuli, hivyo bado hajamalizana na Mbasha kwa kuwa atamfuata na kumalizana naye bila watu kuona
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad