AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtangazaji wa clouds fm Adam Mchomvu amesema sababu za kumpiga mtama stejini mwimbaji wa nyimbo za Injili Emmanuel Mbasha Ni kutokana na kumuita Adamu mabangi
Amesema kitendo hicho kimemuudhi kwa kuwa KAULI hiyo ameitoa kwenye tamasha ambalo linaangaliwa na watu wengi akiwemo Rais Magufuli, hivyo bado hajamalizana na Mbasha kwa kuwa atamfuata na kumalizana naye bila watu kuona
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK