google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Arsenal Watwaa Ubingwa wa Kombe la FA, waichapa Chelsea Kipigo Kibaya | UDAKU SPECIAL

Arsenal Watwaa Ubingwa wa Kombe la FA, waichapa Chelsea Kipigo Kibaya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Arsenal watwaa Ubingwa wa Kombe la FA, waichapa Chelsea mabao 2-1 kwenye mchezo wa fainali.

Fainali hiyo iliyochezwa leo katika Uwanja wa Wembley jijini London pasina uwepo wa mashabiki, imewashuhudia Arsenal ya Kocha Mikel Arteta ikitwaa ubingwa huo kwa mara ya 14 katika historia ya klabu hiyo.

Mabao mawili ya Mwafrika raia wa Gabon, Pierre Emerick Aubameyang yametosha kuipa ushindi na taji hilo ambalo limewapa tiketi ya moja kwa moja kucheza michuano ya UEFA Europa League msimu wa mwaka 2020/21
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad