AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwenye mahojiano na Jarida la PEOPLE, Alsina amesema hakufanya hivyo kwa nia ya kuharibu familia ya Smith, na hajutii maamuzi yake ya kuongea ukweli.
Kauli ya August Alsina kuhusu kuwa kwenye mahusiano na Jada ilipelekea mwanamama huyo kutoka na kuzungumza pia ambapo alikiri, tena akiwa mbele ya mumewe, Will Smith kwenye kipindi chake cha Red Table Talk.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK