AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
#BabaLevo ameongeza kuwa yeye ni mtu ambae anajiongeza sana katika Maisha na hata Mshahara wake anaopata ni Laki 3 na Nusu lakini huwa anajiongeza ongeza mpaka inafika milioni 2 na laki 3
@officialbabalevo amesema kuwa haoni aibu wala haoni shida kuitwa CHAWA wa SHILOLE Kwani hakuna ubaya wowote na kwa jinsi anavyomkubali Shilole akifariki atalia machozi ambayo yanaweza kufika KIMARA
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK