Botswana Yapiga Marufuku Uuzwaji wa Pombe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Serikali ya Botswana imepiga marufuku uuzwaji wa pombe na kusimamisha leseni za wauzaji wote wa vinywaji.

Marufuku hiyo itaendelea mpaka muongozo mwingine utakapotolewa.

Maduka yote ya pombe yatasalia kuwa yamefugwa.

Hatua hiyo imekuja ili kuzuia kasi ya maambukizi ya corona.

Wiki iliyopita serikali ya Botswana iliweka amri ya kutotoka nje katika mji wa Gaborone kwa muda wa wiki mbili ili kupunguza maambukizi ambayo yalikuwa yanaogngezeka kwa kasi.

Taifa hilo limethibitisha kuwa na maambukizi 804 ya virusi vya corona na vifo viwili.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad