BREAKING: Haji Manara Atangaza Kustaafu SIMBA “Nipo SIMBA”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



MSEMAJI wa Simba SC, Haji Manara, leo Agosti 16, 2020 akizungumza na waandishi wa habari  makao makuu ya Simba, Msimbazi jijini Dar es Salaam, amesema ataomba kupumzika kidogo kutokana na afya yake kutokuwa sawasawa.


“Afya yangu siyo sawasawa madhubuti labda mnaweza mkashangaa…Nisiwakwaze, mnaweza mkashangaa baada ya muda mchache ujao nikawaomba kupumzika na nitumie furusa hii kuwaambia nipo Simba nitawaomba Wanasimba nipumzike kidogo kwa sababu ya afya yangu siyo madhubuti sawasawa, nitaendelea kuhamasisha nje ya Simba. Asanteni sana,” -Amesema Haji Manara.


Haji ameyasema hayo baada ya baadhi ya wanachama na mashabiki wa Simba kushiriki dua maalum ya kuiombea klabu hiyo.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad