Breaking: Nane Wafariki Katika Ajali Kagera

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Jumla ya watu nane akiwemo mtoto mwenye umri wa mwezi mmoja ambaye mama yake amenusurika wamepoteza maisha mkoani Kagera na wanne hali zao ni mahututi baada ya gari la sabuni yenye namba za usajili T 392 AZB lililokuwa kilielekea jijini Mwanza kupata ajali na kupinduka wakati likitoka eneo la Nshamba lililoko wilayani Muleba.

Akizungumza akiwa kwenye eneo la tukio Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Kagera Kamishina Msaidizi Revocatus Malimi ametembelea majeruhi waliolazwa katika hospitali teule ya Rubya na hospitali ya Ndolage na kusema kuwa katika ajali hiyo watu 23 walipata majeraha ya madogo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad