CHADEMA wazindua kampeni, Lissu azungumza haya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Leo Agosti 28, 2020, kimefanya uzinduzi wa kampeni za mgombea Urais kwenye viwanja vya Mbagala Zakhiem, ambapo Mgombea wa Kiti hicho cha Urais Tundu Lissu amesema, wanaanza kampeni wakiwa hawana wagombea 52 kati ya wagombea 244 waliowaweka.


Katika uzinduzi huo Lissu amesema kuwa hawategemei kujitoa kwenye uchaguzi na kwamba kuanzia leo katika kila mkutano wa kampeni hoja yao kubwa itakuwa ni ya kurudishwa kwa wagombea waliondolewa bila kuwekewa masharti yoyote.

"Hatutajitoa kwenye uchaguzi, tutakachofanya kuanzia leo nchi nzima, katika kila mkutano wa kampeni hoja yetu ni wagombea wetu walioondolewa kinyume cha sheria warudishwe bila masharti yoyote na hata wa vyama vingine warudishwe", amesema Lissu.

Aidha amesema kuwa hoja zao siyo kwa wagombea wa CHADEMA tu, bali hata vyama vingine ambavyo wagombea wao wameenguliwa
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad