CHADEMA Yatangaza Majina Mengine ya Wagombea Ubunge

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


CHADEMA kimemteua Lazaro Nyalandu kugombea Ubunge wa Jimbo la Singida Kaskazini, Suzan Lyimo kugombea Jimbo la Kinondoni, Lucy Magereli Kigamboni, Salome Makamba Jimbo la Shinyanga Mjini, Gibson Ole Meiseyeki kugombea Jimbo la Arumeru Magharibi, na Aboubakar Mashambo Jimbo la Bumbuli


Majina hayo ya Wabunge walioteuliwa katika awamu ya pili, yametolewa  Agosti 12, 2020, kupitia ukurasa wa mtandao wa Twitter wa chama hicho.

Tazama hapa chini orodha ya majina ya wagombea wa Ubunge walioteuliwa.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad