AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Meneja wa WCB na @diamondplatnumz ameonyesha tabasamu lake la kwanza toka afiwe na mke wake baada ya kupokea matokeo ya Ubunge katika Jimbo la Morogoro Mashariki.
Alhamisi hii Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilimtangaza Hamisi Shabani Taletale maarufu kama @babutale kuwa mgombea Ubunge wa jimbo hilo.
VIDEO:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
kafara imefanya kazi..
ReplyDelete