Clotus Chama Aondoka na Tuzo Mbili za VPL

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


CLATOUS Chama, kiungo bora wa msimu wa 2019/20 anayekipiga ndani ya Klabu ya Simba leo kwenye kilele cha Tuzo za VPL zinazofanyika Ukumbi wa Mlimani City amesepa na tuzo binfasi mbili.

Tuzo ya kwanza ilikuwa ni ya kiungo bora baada ya kuwashinda, Lukas Kikoti wa Namungo na Mapinduzi Balama wa Yanga.

Ameibuka kuwa mchezaji bora kwa msimu wa 2019/20 akiwashinda Nicolas Wadada wa Azam FC ambaye mkononi ana tuzo ya beki bora wa msimu wa 2019/20 na beki wa Coastal Union Bakari Mwamnyeto wote wamo kwenye kikosi bora cha msimu wa 2019/20

Chama ni namba moja kwa pasi za mwisho ndani ya Simba akiwa ametoa jumla ya pasi 10 za mabao huku akifunga mabao 2 na kumfanya ahusike kwenye jumla ya mabao 12 kati ya 78 yaliyofungwa na Simba.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad