AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hilo Limethibitishwa na Msemaji Mkuu wa Timu hiyo @hajismanara , ambae amesema Mwaka huu Tamasha la Simba Day Litakuwa Kubwa kama Matamasha Makubwa ya Muziki .
Tamasha hilo linategemewa kufanyika Jumamosi hii katika Uwanja wa Taifa , huku likisheheni Matukio Mbalimbali ya kimichezo na Burudani maalumu Kwa ajili ya Wapenzi wa Timu ya Simba na wapenda Michezo Nchini .
Je, nini Mategemeo yako kuhusu Tamasha La Simba Day La Mwaka huu?
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK