AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hii itakuwa kwa mara nyingine tena baada ya @diamondplatnumz kukiri kuvalishwa na kampuni hiyo kwenye show ya Zuchu Mlimani City. Kupitia ukurasa wake wa Instagram Diamond ameishukuru kampuni hiyo inayomilikiwa na mzazi mwenzake huyo @hamisamobetto kwa kumvalisha kwa mara ya pili
Hii ni hatua nzuri kwa mastaa hawa ambao wamezaa mtoto mmoja. Hapo awali hawakuwa kwenye mahusiano mazuri baada ya kuanza kurushiana maneno kwenye mitandao ya kijamii muda mfupi baada ya kuachana.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK