Diamond Platnumz Atubu Kwa Hamisa Mobetto Linapokuja Swala la Fashion, Unaambiwa Hamisa Ndo Anamvalisha Mondi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanamitindo @hamisamobetto na mzazi mwenzake @diamondplatnumz waendeleza mahusiano yao kikazi baada ya Diamond kuweka wazi kuwa kampuni ya #MobettoStylish ndio ilihusika kumvalisha siku ya harusi ya @esmaplatnumz na Msizwa

Hii itakuwa kwa mara nyingine tena baada ya @diamondplatnumz kukiri kuvalishwa na kampuni hiyo kwenye show ya Zuchu Mlimani City. Kupitia ukurasa wake wa Instagram Diamond ameishukuru kampuni hiyo inayomilikiwa na mzazi mwenzake huyo @hamisamobetto kwa kumvalisha kwa mara ya pili

Hii ni hatua nzuri kwa mastaa hawa ambao wamezaa mtoto mmoja. Hapo awali hawakuwa kwenye mahusiano mazuri baada ya kuanza kurushiana maneno kwenye mitandao ya kijamii muda mfupi baada ya kuachana.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad