Dogo Janja: Amwagia Sifa ‘Baby’ Wake "Huyu Mwanamke Amenifanya Nimewasahau Wengine"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Abdulazizi Chande almaarufu “Dogo Janja” amefunguka kuwa mchumba wake yupo tofauti na wanawake wengine aliyewahi kuwa nao kipindi cha nyuma.

Akizungumza na gazeti la Risasi Dogo Janja amsema kuwa amewahi kuwa na uhusiano na wanawake tofauti tofauti ila kwa huyu wa safari hii  amegonga mwamba.

“ huyu mwanamke amenifanya  nimesahau hata kama nishawahi kudate na wanawake wengine najionaaa kama nimekuwa mpya tena yupo tofauti sana na wanawake wengine hakika anajielewa”,alisema Dogo Janja ambaye aliwahi kufunga ndoa na muigizaji wa Bongo Muvi Irene Uwoya.

Stori: Khadija Bakari
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad