Dozen Afunguka Kuondoka Clouds Kama Ruge Angekuwa Hai

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Hamis Mandi  (B Dozen) ameweka wazi kuwa kama aliyekuwa mkurugenzi wa vipindi wa kituo cha habari cha Clouds Fm, Ruge Mutahaba angekuwa hai asingeondoka kwenye kituo hicho.

Akizungumza kwenye kipindi cha Gerezani kinachorushwa na kituo cha televisheni cha ETV na kudai kuwa mapenzi yake kwenye tasnia ya burudani ndio yamefanya ahame kutoka clouds Fm na kujiunga na Efm.

“Nafikiri kama angekuwepo nisingeondoka Clouds, lakini mimi ni mtu ninayependa zaidi burudani kuliko kutangaza kwa hiyo Majizzo alivyonipa mipango yake nikaona huku ndiko kuna   Future” amesema Hamis.

Dozen alitambulishwa rasmi kwenye kituo cha E fm mapema Mwezi wa Juni baada ya kudumu clouds Fm kwa takribani miaka 9.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad