AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Drizzy amedondoka comment yake nzito kwenye ukurasa wa Mtangazaji Elliot Wilson ambaye alifanya naye mahojiano, na kisha kuzimwaga sifa kibao kwa Wizzy
"Huyu jamaa aliniamini baada ya kupitia kukataliwa na kuambiwa hapana. Msanii ambaye sio mbinafsi kabisa, hakuwahi kutuacha nyuma, kila siku amekuwa akitusukuma mbele usiku na mchana, kutupeleka kwenye show zake kubwa na kututambulisha kwa miaka. Sifa zote ziende kwako, Mkali wa Muda Wote." Aliandika Drake.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK