Drake Hachoki Kuzimwaga Sifa kwa Lil Wayne 'Huyu Jamaa Aliniamini Baada ya Kukataliwa na Kuambiwa Hapana na Wengi'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Drake hachoki kuzimwaga sifa kwa Lil Wayne, msaada alioupata kusainiwa Young Money Entertainment umebaki kama kovu kwenye maisha yake.

Drizzy amedondoka comment yake nzito kwenye ukurasa wa Mtangazaji Elliot Wilson ambaye alifanya naye mahojiano, na kisha kuzimwaga sifa kibao kwa Wizzy

"Huyu jamaa aliniamini baada ya kupitia kukataliwa na kuambiwa hapana. Msanii ambaye sio mbinafsi kabisa, hakuwahi kutuacha nyuma, kila siku amekuwa akitusukuma mbele usiku na mchana, kutupeleka kwenye show zake kubwa na kututambulisha kwa miaka. Sifa zote ziende kwako, Mkali wa Muda Wote." Aliandika Drake.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad