Dude Afunguka Baada ya Ajali Mbaya iliyotaka Kuondoa uhai Wake (Video)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa filamu Dude amefunguka kuzungumzia ajali mbaya ya gari aliyoipata mapema leo asubuhi wakati akijiandaa kwenda Mkoa Dodoma kwaajili ya uzinduzi wa kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM). Muigizaji huyo ambaye bado yupo hospitali ya Magomeni jijini Dar Es salaam, amedai aligongwa na gari la kubebea wagonjwa akiwa kwenye usafiri wa Bodaboda.

Amesema kupitia ajali hiyo mbaya ameibiwa simu pamoja na pesa.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad