Exclusive: Bilionea Laizer Kafunguka MAPYA “Walitaka Kunitapeli, Hela Tunagawana”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Bilionea Saniniu Laizer amezungumza kwenye exclusive  interview na Millardayo.com nakusema kwamba kuna watu walimfuata  nakumshauri wakitaka awauzie madini yake ya Tanzanite aliyoyapata nakusema kwamba walitaka kumtapeli akaamua kuyauza kwa serikali

Laizer amesema katika uchimbaji wa madini kuna watu anasaidiana nao na hela aliyoipata sio yake peke yake bali anagawana na watu wengi
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad