AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bilionea Saniniu Laizer amezungumza kwenye exclusive interview na Millardayo.com nakusema kwamba kuna watu walimfuata nakumshauri wakitaka awauzie madini yake ya Tanzanite aliyoyapata nakusema kwamba walitaka kumtapeli akaamua kuyauza kwa serikali
Laizer amesema katika uchimbaji wa madini kuna watu anasaidiana nao na hela aliyoipata sio yake peke yake bali anagawana na watu wengi
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK