EXCLUSIVE: Noorah awa muuza duka, afunguka mazito “kila shabiki namdai elfu 10, wanaabudu ngono” (+video)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Haji Noorah maarufu ‘Noorah baba Stylz’ ni miongoni mwa majina makubwa kwenye muziki wa bongofleva, sasa hivi ni zaidi ya miaka ya miaka 10 hajasikika kwenye muziki, pamoja na kwamba Noorah alipitia matatizo kadhaa ikiwepo ajali mwaka 2005 lakini pia mke wake wa kwanza kufariki 2015 lakini kuna sababu anazo za kwanini sasahivi hayupo tena kwenye muziki.

AyoTV na millardayo.com tumemtembelea ofisini kwake Shinyanga Mjini maeneo ya Kambarage ambapo biashara yake ya sasa ni kuuza spea za magari.

VIDEO:

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad