Gari yaacha njia nakuua wanafunzi watatu Arusha,wawili wajeruhiwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Wanafunzi watatu waliokuwa wanasoma katika shule ya Olmoti mkoani Arusha ,wamefariki na wengine wawili kujeruhiwa  baada yakugongwa na gari ambayo  imeacha njia

Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Salum Hamduni amesema gari hiyo ilikuwa ikiendeshwa na Sariko Mwenda katika barabara ya East Afrika eneo la Olmort,ambapo iliacha njia nakuwagonga wanafunzi hao walikokuwa wanatembea pembezoni mwa barabara wakitoka shule


“Chanzo cha ajali hiyo ni uzembe na dereva alishindwa kumudu gari lake nakupoteza  mwelekeo nakugonga gari nyingine ubavuni pamoja na baiskeli,mtuhumiwa amekamatwa”-Kamanda Hamduni

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad