Goodbless Lema "Muujiza wa Mungu Unachukua Fomu ya Kugombea Urais"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Aliyekuwa mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema, amesema Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu atachukua fomu kesho ya kugombea urais.

Lema aliandika ujumbe huo katika ukurasa wake wa twitter kuwa atashuhudia kutoka kufo kuwa mgombea urais.

“Kesho muujiza wa Mungu una chukua fomu ya kugombea Urais, nitashuhudia, kutoka kifo had I kuwa mgombea Urais. Mna uliza tutashinda urais?,” aliandika Lema

“Jibu: kama tumekishinda kifo kwa uwezo wa Mungu basi urais ni kama ice cream tu. Twendeni mpaka mwanzo wa bahari
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Wala haielekei..!! Ni kujipotezea pesa
    za Udhulumaji wa Wabunge na Wakati.

    Hivyo Uraia wake wa Ukimbizi Umesha hakikiwa..?? na Ppt amesha irudisha.?

    Mazingira na Matope aliyoipaka nchi yetu labda Faru Peke yake akishirikian
    na Mkewe ndiyo atampa kura. Si ya Lema wala Msigwa ataipata.

    NRCC oyeee! Kisutu kwema.?

    ReplyDelete

Top Post Ad