Haji Manara Akosa Cha Kuongea Baada ya Morrison Kuigaragaza Yanga Vibaya Mahakama ya TFF

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Msemaji wa mabingwa wa Ligi kuu bara Simba SC, Haji Manara ameshindwa kutoa kauli yoyote juu ya ushindi aliopata mchezaji wao moya Bernard Morrison kwenyebkesi ikiyokuwa inamkabiri dhidi ya klabu yake ya Zamani Yanga.

Read More: Nafasi za Ajira Serikalini

Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram Manara amesema kwa sasa mashabiki wampe muda kwaku ni jambo la busara kukaa kimya ukiwa na furaha sana au hasira ndio maan anataka watu wameache kwa sasa.

“Katika Siasa na Propaganda tumefundishwa ukiwa na furaha sana au hasira sana usiseme kitu chochote, jipe muda japo kidogo tu, baadae sema ulichonacho!!! I’ll be back later INSHA’ALLAH” ameandika Manara.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad