Harmonize aichambua timu yake ya Yanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kuelekea siku ya mwananchi August 30, Staa wa BongoFleva Harmonize amefunguka kusema yeye ni mwananchi na timu yake ni shabiki wa timu ya Yanga pia hataki mashabiki wake wa muziki wajigawe kwa sababu anaishangilia timu hiyo.


Harmonize amesema mambo ya mpira yasichukuliwe kama mambo binafsi kwani mpira sio vita kwamba anashangilia Yanga basi mashabiki wake ndiyo wajigawe, pia ameahidi jinsi atakavyoshuka siku ya tukio hilo watu hawataamini.

"Mimi ni mwananchi timu yangu ninayoishabikia ni Yanga, kwenye michezo na hakuna hisia ngumu kwamba nikishangilia timu fulani eti mashabiki wangu wajigawe pia mpira sio vita, nia yetu ni kuusogeza mpira mbele wala sio uadui, ila ninachowaahidi siku ambayo nitashuka pale uwanja wa Mkapa hamtaamini" amesema Harmonize

Pia Harmonize ametunga wimbo maalum kwa mashabiki wa Yanga kuelekea siku ya Wananchi ambayo itakuwa August 30.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad