Hongera Sana Suma Lee Kwa Kushikilia Msimamo Wako. Mzee Yusuph Ameshindwa Arudia Maisha ya Kidunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kwa hatua uliyokuwa umefikia kwa kipaji chako cha mziki..hakika haikua kazi nyepesi kupambana na nafsi yako na kuacha kabisaa mziki wa dunia na kumrudia Muumba wako na kukubali kuanza upya katika maisha mapya.

Pole Mzee Yusuph kwa kushindwa kupambana na nafsi yako na kuamua kurudi tena kwenye mziki wa taarab.

Mpaka sasa aliyeweza hivyo ni Mwanamuziki Suma Lee, Aliacha mziki miaka kadhaa iliyopita na kumrudia mola wake na mpaka sasa anaendelea kukaza

Kubadilisha staili ya maisha ya kidunia ni kazi sana hadi ujizatiti na kufumbia macho kila kitu..

We are the one,we are the children.


Tazama Wimbo wa Dini wa Suma Lee Hapa Chini:

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad