AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ripoti iliyotolewa na Shirika la Canalys imesema Kampuni ya Huawei imeipita Kampuni ya Samsung kwa mauzo ya simu baada ya kuuza simu Milioni 55.8 kati ya Aprili-Juni huku #Samsung ikiuza simu Milioni 53.7
Imeelezwa kuwa ushindi wa #Huawei usingewezekana bila janga la #CoronaVirus ambalo limepelekea kampuni hiyo kuuza takriban 70% ya bidhaa zake China ambako Samsung ina soko dogo
Hata hivyo, Mchambuzi wa Shirika hilo, Mo Jia amesema itakuwa ngumu kwa Huawei kubaki namba moja uchumi wa dunia ukianza kutengemaa kwasababu ina nguvu kubwa China pekee
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK